Highlight na Takwimu za Mechi ya Nigeria dhidi ya Tanzania | AFCON 2025 Kundi C
Highlight na Takwimu za Mechi ya Nigeria dhidi ya Tanzania: Mashindano ya Africa Cup of Nations 2025 yaliendelea kushika kasi katika hatua ya makundi, huku Kundi C likishuhudia pambano kali kati ya Nigeria na Tanzania. Mechi hiyo, iliyokuwa na mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka Afrika Mashariki na Magharibi, ilimalizika kwa ushindi wa Nigeria wa…