Simba Queens kuwakaribisha JKT Queens KMC Complex

DABI YA MAJESHI VS MNYAMA: Simba Queens kuwakaribisha JKT Queens KMC Complex, Corazone kuongoza mashambulizi.

Simba Queens kuwakaribisha JKT Queens KMC Complex: Soka la wanawake nchini Tanzania limefikia hatua ya kusisimua na ya kihistoria ambapo msimu huu unashuhudia ushindani mkubwa ambao haujawahi kuonekana tangu kuanzishwa kwa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League). Wakati miamba ya soka nchini ikikaribia kukatiza mstari wa mwisho wa msimu, macho na masikio…

Read More
Okello anyakua Nyota wa Mchezo Yanga ikiichapa Namungo 3-1

MATOKEO YA MECHI YA LEO YANGA NA NAMUNGO FC : Wananchi hawatanii! Yanga yaishindilia Namungo FC 3-1Premier League

MATOKEO YA MECHI YA LEO YANGA NA NAMUNGO FC : Wananchi hawatanii! Yanga yaishindilia Namungo FC 3-1Premier League. Mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC (NBC Premier League) zimezidi kupamba moto baada ya mabingwa wshindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo uliopigwa leo umekuwa wa vuta nikuvute, huku Yanga…

Read More
Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves

MSHTUKO JANGWANI:Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves, makocha wawili watajwa kurithi mikoba!

MSHTUKO JANGWANI:Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves; Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetikisa ulimwengu wa soka nchini baada ya kutangaza rasmi kumfuta kazi Kocha wake Mkuu, Pedro Gonçalves, kuanzia leo Mei 6, 2026. Uamuzi huo umekuja kama mshtuko kwa mashabiki wengi, ikizingatiwa kuwa timu hiyo ipo katika hatua muhimu za msimu. Kupitia taarifa…

Read More
Siri ya mpasuko Real Madrid

Siri ya mpasuko Real Madrid: Kwanini Valverde na Tchouameni wamepigana kuelekea El Clasico?

Siri ya mpasuko Real Madrid: valverde na tchouameni wapigana mazoezini,Zikiwa zimebaki siku tatu tu kuelekea mtanange wa kukata na shoka wa El Clasico dhidi ya Barcelona, klabu ya Real Madrid imekumbwa na dhoruba nzito inayoweza kuvuruga mipango yao ya ushindi. Taarifa za kushtua kutoka vyanzo vya kuaminika vya ESPN zimeeleza kuwa kiungo mahiri wa timu…

Read More
Fountain Gate Academy Yatinga Fainali

Fountain Gate Academy Yatinga Fainali: Vita ya Kusaka Wababe wa Yanga Soccer School Yapamba Moto

Fountain Gate Academy Yatinga Fainali: DAR ES SALAAM, Tanzania – Miamba ya soka la vijana nchini, Fountain Gate Academy, imekata tiketi ya kucheza hatua ya fainali katika mashindano ya kusaka vipaji yanayoandaliwa na Yanga Soccer School kwa kushirikiana na Emwaní. Baada ya mchuano mkali wa timu 16 bora ulioshirikisha vituo mbalimbali vya soka nchini, vijana…

Read More
16 Bora Mashindano ya Yanga Soccer School 2026

Vita ya Kusaka Vipaji: Hawa Hapa Wababe wa 16 Bora Mashindano ya Yanga Soccer School 2026

16 Bora Mashindano ya Yanga Soccer School 2026: Mchuano wa kusaka vipaji vya soka nchini Tanzania umepamba moto! Baada ya hatua za awali za kusisimua, Yanga Soccer School kwa kushirikiana na Emwaní wametangaza ratiba rasmi ya hatua ya mtoano (Elimination Stage), ambapo timu 16 bora zinakutana uso kwa uso kuelekea fainali kuu. Kutoka mitaa ya…

Read More