VITA YA MAESTRO: Chama vs Okello nani zaidi? Okello anyakua Nyota wa Mchezo Yanga ikiichapa Namungo 3-1
Okello anyakua Nyota wa Mchezo Yanga ikiichapa Namungo 3-1: Kwenye ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata Young Africans SC dhidi ya Namungo FC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, macho ya wengi yalikuwa kwenye safu ya viungo wabunifu ya timu hiyo, huku gumzo kubwa likiwa ni nani aliyeing’arisha timu zaidi kati ya Clatous Chama…