Fountain Gate Academy Yatinga Fainali: Vita ya Kusaka Wababe wa Yanga Soccer School Yapamba Moto
Fountain Gate Academy Yatinga Fainali: DAR ES SALAAM, Tanzania – Miamba ya soka la vijana nchini, Fountain Gate Academy, imekata tiketi ya kucheza hatua ya fainali katika mashindano ya kusaka vipaji yanayoandaliwa na Yanga Soccer School kwa kushirikiana na Emwaní. Baada ya mchuano mkali wa timu 16 bora ulioshirikisha vituo mbalimbali vya soka nchini, vijana…