Diogo Dalot Afunga Bao Lake la Kwanza la Premier League Tangu Mei 2024: Dalili Za Kuongezeka kwa Ubora wa Bekii wa Manchester United
Diogo Dalot Afunga Bao Lake la Kwanza la Premier League Tangu Mei 2024: Katika msimu ambao Manchester United imekuwa ikipitia changamoto nyingi ndani ya Ligi Kuu England, tukio moja limeleta mwanga mpya na furaha kwa mashabiki: Diogo Dalot kufunga bao lake la kwanza la Premier League tangu Mei 2024. Bao hili limekuwa gumzo kubwa si…