Real Madrid Wathibitisha Trent Alexander-Arnold Kuumia

BREAKING: Real Madrid Wathibitisha Trent Alexander-Arnold Kuumia – Akiwa Ametoa Asisti Yake ya Kwanza LaLiga

Real Madrid Wathibitisha Trent Alexander-Arnold Kuumia: Baada ya ushindi muhimu dhidi ya Athletic Bilbao Jumatano nchini Hispania, Real Madrid wamethibitisha kwamba beki wao mpya, Trent Alexander-Arnold, ameumia misuli. Hii inakuja siku ambayo mchezaji huyo alitoa asisti yake ya kwanza kabisa kwenye LaLiga, akionyesha ubora wake katika mchezo wake wa kwanza wa ligi tangu kujiunga na…

Read More