Simba Sports Club Yatoa Taarifa Muhimu Kuhusu Mkutano Mkuu wa Wanachama 2025
Simba Sports Club Yatoa Taarifa Muhimu Kuhusu Mkutano Mkuu wa Wanachama: Uongozi wa Simba Sports Club umetangaza rasmi tarehe ya kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Wanachama wa mwaka 2025, ambao umepangwa kufanyika Jumapili ya tarehe 30 Novemba 2025 katika ukumbi wa Diamond Jubilee uliopo Upanga, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 asubuhi. Taarifa hiyo imewasilishwa…