Ratiba ya Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2026: Simba, Azam, Yanga na Singida Wakutana Zanzibar
Ratiba ya Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2026, Ratiba ya Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi 2026, Mapinduzi Cup 2026 Semi final fixtures: Mashindano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 yamefika hatua nyeti zaidi baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi na robo fainali. Sasa macho na masikio ya mashabiki wa soka Tanzania na Afrika Mashariki yote yanaelekezwa…